Rais Xi wa China aonya: Marekani itajitenga yenyewe

Rais wa China, Xi Jinping ametahadharisha kuwa, Marekani iko katika hatari ya kujitenga yenyewe kwa kushupalia vita vya ushuru na vikwazo vya biashara vya upande mmoja.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *