Iran: Tunataka makubaliano ya haki, heshima na usawa; Israel yaingiwa na kiwewe

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesema Jamhuri ya Kiislamu inataka makubaliano ya haki na ya heshima, na yaliyojadiliwa kwenye mazingira ya usawa. Sayyid Araghchi amesema hayo kabla ya kuanza mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na wawakilishi wa Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *