Mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani yaliyoanza leo mjini Muscat, Oman

Esmail Baqaei Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa: Ujumbe wa Iran ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje Sayyid Abbas Araqchi umeelekea Muscat mji mkuu wa Oman yanakofanyika mazungumzo kati ya Iran na Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *