Esmail Baqaei Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa: Ujumbe wa Iran ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje Sayyid Abbas Araqchi umeelekea Muscat mji mkuu wa Oman yanakofanyika mazungumzo kati ya Iran na Marekani.
Related Posts
Wanajeshi 11 wauliwa kaskazini mwa Niger
Wanajeshi wasiopungua 11 wameuawa kaskazini mwa Niger na wengine kadhaa wamejeruhiwa. Post Views: 18
Wanajeshi wasiopungua 11 wameuawa kaskazini mwa Niger na wengine kadhaa wamejeruhiwa. Post Views: 18

Ukraine yatuma ‘drones za joka’ dhidi ya Urusi
Ukraine yatuma ‘drones za joka’ dhidi ya Urusi – CNNUAV za “mito-moto” za Kiev zinafanya mabadiliko ya kisasa kwenye silaha…
Ukraine yatuma ‘drones za joka’ dhidi ya Urusi – CNNUAV za “mito-moto” za Kiev zinafanya mabadiliko ya kisasa kwenye silaha…
Lissu athibitishwa kushikiliwa kwenye gereza la Ukonga chini ya ulinzi mkali
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania kimesema viongozi wake wamekutana na viongozi wa Jeshi la Magereza na kufahamishwa rasmi kuwa…
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania kimesema viongozi wake wamekutana na viongozi wa Jeshi la Magereza na kufahamishwa rasmi kuwa…