Iraq: Tuna hamu ya kushirikiana na Iran kuimarisha utulivu wa kieneo

Rais wa Iraq, Abdul Latif Rashid ametangaza utayarifu wa nchi yake wa kufanya kazi na kushirikiana na Iran ili kuhakikisha kuwa eneo hili la Asia Magharibi linakuwa na utulivu na usalama.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *