Pande hasimu Sudan zatakiwa kulinda usalama wa raia

Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imezitaka pande hasimu nchini Sudan kulinda usalama wa raia na kurahisisha kufikiwa na misaada ya kibinadamu maeneo ya mapigano ili kuepusha majanga zaidi ya kibinadamu nchini humo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *