Baghaei: Mazungumzo ya Jumamosi yatakuwa kipimo cha nia ya Marekani

Kwa mara nyingine tena, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani huko Muscat, mji mkuu wa Oman, ni mtihani wa kupima nia na ukweli wa madai ya Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *