Kimya cha dunia mkabala wa jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa Gaza imekuwa machinjioni, na zaidi ya mwezi mmoja sasa hakuna msaada wowote uliopelekwa eneo hilo na kwamba wakazi wa Gaza hawana mafuta, dawa na bidhaa nyingine zinazohitajika.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *