Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Misri wasisitiza ulazima wa kukomesha jinai Israel Gaza

Iran imetoa wito kwa nchi za eneo kushirikiana kuchukua hatua za haraka kukomesha uhalifu wa utawala wa Israel na kufufua makubaliano ya usitishaji mapigano katika Ukanda wa Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *