Kadhaa wauawa katika shambulizi la kigaidi kaskazini mwa Msumbiji

Watu wasiopungua watano wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa vibaya katika shambulio la kigaidi katika jimbo la Cabo Delgado, kaskazini mwa Msumbiji.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *