Wapalestina wengine 40 wauawa shahidi Gaza na mabomu ya Wazayuni

Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kumwaga damu za Wapalestina; ambapo umewauwa Wapalestina karibu 40 wakiwemo watoto katika mashambulizi ya anga ya karibuni katika maeneo kadhaa katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *