
Inapokuja mechi kubwa ya dabi yoyote duniani kuna vitu vingi ambavyo hutazamwa katika kuuzungumzia ukubwa wa mchezo husika.
Uhamisho wenye utata, matokeo yenye kuumiza na hata mechi zilizojaa mikasa ya ubabe na utemi.
Na hivi ndivyo inavyokuwa kwa Dabi ya Dar es Salaam kati ya Azam FC na Yanga.