Maelfu ya Wamisri waandamana Sinai kuiunga mkono Palestina

Maelfu ya wananchi wa Misri kutoka majimbo mbalimbali wamekusanyika karibu na Uwanja wa Ndege wa El-Arish katika Mkoa wa Sinai Kaskazini wakitangaza kuunga mkono kadhia ya Palestina na kupinga jaribio lolote la kuwafurusha Wapalestina kutoka katika ardhi zao.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *