Utawala haramu wa Israel umempiga marufuku mkurugenzi wa Msikiti wa Ibrahimi ulioko katika mji wa al-Khalil, Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, kuingia katika eneo hilo takatifu la Kiislamu kwa zaidi ya wiki mbili, huku utawala huo ukiendeleza mashambulizi yake ya kikatili dhidi ya Wapalestina na maeneo yao matakatifu.
Related Posts
Iran yasisitiza kuhusu kulindwa misingi ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa
Katika mkutano wa ngazi ya juu wa Kundi la Marafiki wa Kulinda Mkataba wa Umoja wa Mataifa uliofanyika Moscow, Naibu…
Katika mkutano wa ngazi ya juu wa Kundi la Marafiki wa Kulinda Mkataba wa Umoja wa Mataifa uliofanyika Moscow, Naibu…
Urusi yashambulia uwanja wa ndege wa kijeshi wa Ukraine kwa makombora ya hypersonic ya Kinzhal
Urusi yashambulia uwanja wa ndege wa kijeshi wa Ukraine kwa makombora ya hypersonic ya Kinzhal MOSCOW, Oktoba 8. /…/. Vikosi…
Urusi yashambulia uwanja wa ndege wa kijeshi wa Ukraine kwa makombora ya hypersonic ya Kinzhal MOSCOW, Oktoba 8. /…/. Vikosi…
HAMAS yalaani mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni Jenin, Ukingo wa Magharibi
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika…
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika…