Ubalozi wa Marekani wazingirwa na waaandamanaji nchini Mauritania

Wananchi wenye hasira wa Mauritania wamefanya maandamano makubwa na kuuzingira ubalozi wa Marekani mjini Nouakchott wakilaani jinai za Israel katika Ukanda wa Ghaza na kushiriki kikamilifu Washington katika jinai hizo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *