Idadi ya waliofariki dunia kwa mafuriko DRC yaongezeka, vita vinaendelea

Mbali na majanga ya ukosefu wa amani na vita baina ya makundi hasimu, majanga ya kimaumbile yanaikumba pia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Watu wasiopungua 33 wamethibitishwa kufarikidunia kufuatia mvua kubwa iliyonyesha Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wakati juzi Jumapili idadi hiyo ilikuwa ni watu 22.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *