Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel Gaza

Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa katikati mwa mji mkuu wa Rabat kulaani mashambulio mapya ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *