Muswada wa kunyakua misikiti India wapata idhini ya rais

Rais wa India, Droupadi Murmu, ameidhinisha Muswada wa Marekebisho ya Waqf—sheria tata inayotoa mwanya kwa serikali ya Narendra Modi kunyakua misikiti nchini humo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *