Ripoti: Nigeria yapanga mashambulizi dhidi  ya Wafuasi wa Sheikh Zakzaky jijini Abuja

Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa na tovuti ya Sahara Reporters, maafisa wa usalama wa Nigeria wanapanga mashambulizi dhidi ya makazi na mali za wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria (IMN).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *