Meja Jenerali Bagheri: Majibu ya Iran kwa barua ya Marekani yametolewa kwa msingi wa mantiki na nguvu

Mkuu wa Majeshi ya Iran Meja Jenerali Mohammad Baqeri amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran si mpenda vita, lakinii itakabiliana vikali kitendo chochote cha uonevu na uchokozi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *