Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA, amekariri madai ya kisiasa anayotoa kuhusu mpango wa amani wa nyuklia wa Tehran; na pamoja na kueleza kwamba japokuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina akiba kubwa ya urani iliyorutubishwa lakini haina silaha za atomiki, ametaka kuharakishwa mchakato wa kutatua masuala ya usimamizi wa mradi wake wa nyuklia.
Related Posts
Hamas ina uwezo gani wa kujijenga upya?
Ikiwa ni katika kuendelea mwenendo wa kukiri uwezo wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) wa kujikarabati na…
Ikiwa ni katika kuendelea mwenendo wa kukiri uwezo wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) wa kujikarabati na…
Watu 5 wauawa katika mlipuko wa msikitini kaskazini magharibi mwa Pakistan
Watu 5 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika Msikiti wa Chuo Kikuu cha Haqqaniyya kaskazini magharibi…
Watu 5 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika Msikiti wa Chuo Kikuu cha Haqqaniyya kaskazini magharibi…
Wanachuo wa Iran waendeleza maandamano ya kuiunga mkono Palestina
Wanafunzi, maprofesa, wahadhiri na wafanyakazi wa Vyuo Vikuu vya mikoa ya Ardabil na Khorasan Kusini wamefanya maandamano ya kulaani ghasia…
Wanafunzi, maprofesa, wahadhiri na wafanyakazi wa Vyuo Vikuu vya mikoa ya Ardabil na Khorasan Kusini wamefanya maandamano ya kulaani ghasia…