Mahakama moja nchini Ufaransa jana Jumatatu ilimpata na hatia ya ubadhirifu, Marine Le Pen, aliyekuwa mgombea urais wa Ufaransa kwa mihula miwili na kiongozi wa chama cha National Rally (RN) chenye chuki dhidi ya Waislamu. Hukumu hiyo itaathiri mustakabali wake wa kisiasa, hasa kugombea katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa wa 2027.
Related Posts
Katibu Mkuu wa UN: Akili Mnemba ni upanga wenye makali pande mbili, ina manufaa na madhara
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, waandishi wa habari wanakabiliwa na hatari kila uchao na kwamba teknolojia…
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, waandishi wa habari wanakabiliwa na hatari kila uchao na kwamba teknolojia…

Wanajeshi 115 wa Urusi wachiliwa huru na Ukraine kupitia mpango wa kubadilishana wafungwa wa vita
Wanajeshi 115 walirudi kwa Kirusi kwa kubadilishana wafungwa wa vita Umoja wa Falme za Kiarabu ulitoa juhudi za kati za…
Wanajeshi 115 walirudi kwa Kirusi kwa kubadilishana wafungwa wa vita Umoja wa Falme za Kiarabu ulitoa juhudi za kati za…
Wanachuo wa Iran waendeleza maandamano ya kuiunga mkono Palestina
Wanafunzi, maprofesa, wahadhiri na wafanyakazi wa Vyuo Vikuu vya mikoa ya Ardabil na Khorasan Kusini wamefanya maandamano ya kulaani ghasia…
Wanafunzi, maprofesa, wahadhiri na wafanyakazi wa Vyuo Vikuu vya mikoa ya Ardabil na Khorasan Kusini wamefanya maandamano ya kulaani ghasia…