Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa ombi la kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha “uangamizaji kizazi wa kimpangilio unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel na kuwatesa kwa njaa makusudi Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza”, jinai ambazo imesema, “zinafanywa kwa usaidizi wa kuaibisha wa kimaitaifa usioweza kuhalalishwa”.
Related Posts
Hamas yatangaza kuuawa shahidi kamanda wake wa kijeshi, Mohammed Deif
Brigedi za Hizzuddin al Qassam , Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, zimethitibisha habari…
Brigedi za Hizzuddin al Qassam , Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, zimethitibisha habari…
Shambulio la kigaidi kwenye msikiti nchini Niger laua makumi ya watu
Makumi ya watu wameuawa shahidi katika shambulio la kundi la kigaidi la ISIS kwenye msikiti mmoja kusini magharibi mwa Niger.…
Makumi ya watu wameuawa shahidi katika shambulio la kundi la kigaidi la ISIS kwenye msikiti mmoja kusini magharibi mwa Niger.…

Mdahalo kati ya Trump na Harris Kufanyika Septemba
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…