Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amezikosoa vikali baadhi ya nchi za Magharibi kwa kutumia vibaya taasisi za Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa na kusisitiza kuwa, nchi hizo zinataka kuingiza siasa katika masuala ya haki za binadamu dhidi ya Iran kwa kupuuza masuala ya kimsingi ya haki za binadamu ukiwemo mgogoro wa Palestina.
Related Posts
Masharti ya Iran kwa ajili ya kufanya mazungumzo na nchi za Magharibi
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena imekataa mazungumzo yoyote ya kulazimishwa na kusisitiza kuwa haitafanya mazungumzo kwa…
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena imekataa mazungumzo yoyote ya kulazimishwa na kusisitiza kuwa haitafanya mazungumzo kwa…
Mashambulizi ya Marekani Yemen yavuruga uuzaji wa chai ya Kenya
Biashara ya chaki ya Kenya imeingia matatani baada ya Marekani na Uingereza kuanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Yemen na kupelekea…
Biashara ya chaki ya Kenya imeingia matatani baada ya Marekani na Uingereza kuanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Yemen na kupelekea…
Baada ya Ikulu, Jeshi la Sudan lateka Benki Kuu na maeneo muhimu ya mji mkuu Khartoum
Jeshi la Sudan jana Jumamosi liliendeleza ushindi wake kwa kuiteka tena Benki Kuu na maeneo kadhaa ya kimkakati na majengo…
Jeshi la Sudan jana Jumamosi liliendeleza ushindi wake kwa kuiteka tena Benki Kuu na maeneo kadhaa ya kimkakati na majengo…