“Watu hawaamini kama nina uwezo wa kufundisha soka kwasababu tu siwezi kuona. Hilo linanipa wakati mgumu japo kama mwalimu wa mpira wa miguu inanipa nafasi ya kujiamini zaidi,” anaeleza Kocha wa timu ya Mfaranyaki City, Priver Ngonyani. BBC ilifika katika uwanja wa Mfaranyaki uliopo wilayani Songea, kusini mwa Tanzania kuzungumza naye.
Related Posts
Unajua kwanini abiria wa safari za ndege huzuiwa kubeba ‘power bank’?
Mashirika ya ndege duniani kote yamepiga marufuku power bank kubebwa kwenye mizigo inayoingia (vitu unavyokabidhi kabla ya kupanda ndege) kwa…
Mashirika ya ndege duniani kote yamepiga marufuku power bank kubebwa kwenye mizigo inayoingia (vitu unavyokabidhi kabla ya kupanda ndege) kwa…

Viongozi wa Kiislamu wataka kukomeshwa mara moja jinai za Israel huko Ghaza na Lebanon
Viongozi wa Kiislamu na wa Kiarabu ambao wameitisha mkutano wa dharura mjini Riyadh Saudi Arabia wameutaka utawala wa Kizayuni ukomeshe…
Viongozi wa Kiislamu na wa Kiarabu ambao wameitisha mkutano wa dharura mjini Riyadh Saudi Arabia wameutaka utawala wa Kizayuni ukomeshe…

Netanyahu ni mhalifu wa kivita, atakamatwa akikanyaga Dearborn Marekani
Mji mmoja nchini Marekani umeahidi kumkamata Waziri Mkuu wa utawala wa Israel, Benjamin Netanyahu, na waziri wake wa zamani wa…
Mji mmoja nchini Marekani umeahidi kumkamata Waziri Mkuu wa utawala wa Israel, Benjamin Netanyahu, na waziri wake wa zamani wa…