Sambamba na kuanza mwezi mtukufu wa Ramadhani, Jeshi la Sudan SAF limezidisha mashambulizi ya kuuteka kikamilifu mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum, kutoka mikononi mwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF). Hata hivyo kampeni hiyo inasababisha hasara kubwa hasa kwa watoto wa nchi hiyo. Mapigano hayo yamesambaratisha maisha ya vijana na kushadidisha njaa, mbali na janga la majeruhi, wajane na mayatima.
Related Posts
Uganda yatuma vikosi zaidi nchini DRC, yathibitisha kuwa wanajeshi wake wameingia Bunia
Msemaji wa Jeshi la Uganda Brigedia Jenerali Felix Kulayigye amethibitisha kuwa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo (UPDF) limeingia kwenye…
Msemaji wa Jeshi la Uganda Brigedia Jenerali Felix Kulayigye amethibitisha kuwa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo (UPDF) limeingia kwenye…

Ukraine inaweza kusababisha ‘Chernobyl nyingine’ – afisa wa zamani wa Jeshi la Marekani
Ukraine inaweza kusababisha ‘Chernobyl nyingine’ – afisa wa zamani wa Jeshi la Merika kwa RT Kuanguka kwa Kiwanda cha Nguvu…
Ukraine inaweza kusababisha ‘Chernobyl nyingine’ – afisa wa zamani wa Jeshi la Merika kwa RT Kuanguka kwa Kiwanda cha Nguvu…
Araghchi: Maadui watajuta kwa kutoa vitisho dhidi ya Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitamruhusu mtu yeyote kuzungumza nayo kwa…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitamruhusu mtu yeyote kuzungumza nayo kwa…