Wizara ya Mambo ya Nje ya Afrika Kusini imeashiria hatua ya rais wa Marekani, ya kufanya propaganda kubwa dhidi ya nchi hiyo kutokana na uhusiano mzuri wa Afrika Kusini na Iran na hatua ya Pretoria ya kufungua kesi ya kuadhibiwa viongozi watenda jinai wa Israel kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ na kusema kuwa, inasikitisha kuona Marekani inaendesha propaganda chafu dhidi ya Afrika Kusini.
Related Posts
Namibia; nchi ya kwanza Afrika kuwa na Rais na Makamu wa Rais mwanamke
Rais mpya wa Namibia Netumbo Nandi-Ndaitwah ametangaza Baraza lake la Mawaziri la kwanza na kumteua Lucia Witbooi kuwa Makamu wa…
Rais mpya wa Namibia Netumbo Nandi-Ndaitwah ametangaza Baraza lake la Mawaziri la kwanza na kumteua Lucia Witbooi kuwa Makamu wa…
Jeshi la Kizayuni lavamia nyumba kwa nyumba Ukingo wa Magharibi, lawakamata Wapalestina 200
Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefanya uvamizi wa nyumba kwa nyumba katika mji wa Palestina wa Azzun, mashariki…
Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefanya uvamizi wa nyumba kwa nyumba katika mji wa Palestina wa Azzun, mashariki…
Mazungumzo ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Yemen kuhusu matukio ya eneo
Sayyid Abbas Araqchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amefanya mazungumzo ya simu na Jamal…
Sayyid Abbas Araqchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amefanya mazungumzo ya simu na Jamal…