Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imepongeza hatua ya kurejea maelfu kwa maelfu ya watu katika miji yao ambayo ingali inakaliwa kwa mabavu kusini mwa Lebanon, huku wakipuuzilia mbali vitisho vya jeshi la Israel, ikisema nia yao isiyo na kikomo na moyo wao usioweza kutetereshwa, ndiyo silaha kali zaidi za mrengo wa Muqawama.
Related Posts

Mtaalamu wa mifugo wa Uingereza afungwa kwa unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya mbwa
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
Wavuvi 20 wa Kenya wauawa na wanamgambo wa Dassanech mpakani na Ethiopia
Zaidi ya wavuvi 20 wameuawa katika eneo la mpaka la Todonyang, kaskazini mwa Kenya, pambizoni mwa Ziwa Turkana katika shambulio…
Zaidi ya wavuvi 20 wameuawa katika eneo la mpaka la Todonyang, kaskazini mwa Kenya, pambizoni mwa Ziwa Turkana katika shambulio…
Jaribio la mauaji ya Trump lilimshangaza sana Putin,
Jaribio la mauaji ya Trump lilimshangaza sana Putin, anasema msemaji wa Kremlin“Putin alishangaa sana, kwa sababu, kiwango ambacho kinapaswa kutolewa…
Jaribio la mauaji ya Trump lilimshangaza sana Putin, anasema msemaji wa Kremlin“Putin alishangaa sana, kwa sababu, kiwango ambacho kinapaswa kutolewa…