Abu Ubaydah, msemaji wa Brigedi za Izzuddin Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel jana Alkhamisi lilishambuliwa kwa makusudi eneo ambalo mateka mmoja wa kike wa Israel alikuwa akishikiliwa kwenye Ukanda wa Ghaza.
Related Posts
Araqchi: Barua ya Trump imepokewa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa…
Kulazimishwa utawala wa Kizayuni kuondoka kabisa kusini mwa Lebanon
Kufuatia ziara ya Emmanuel Macron, Rais wa Ufaransa nchini Lebanon, António Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa pia amezuru…
Kufuatia ziara ya Emmanuel Macron, Rais wa Ufaransa nchini Lebanon, António Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa pia amezuru…
Jumatatu, 24 Februari, 2025
Leo ni Jumatatu 25 Shaaban 1446 Hijria ambayo inasadifiana na 24 Februari 2025. Post Views: 19
Leo ni Jumatatu 25 Shaaban 1446 Hijria ambayo inasadifiana na 24 Februari 2025. Post Views: 19