Sayyid Abbas Araqchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amefanya mazungumzo ya simu na Jamal Ahmed Ali Amer, Waziri wa Mambo ya Nje na Wahamiaji wa Jamhuri ya Yemen, na kusisitiza kuendelea kwa msaada wa Iran kwa serikali na watu wa Yemen.
Related Posts
Mayahudi wa Marekani: Israel imeshindwa katika vita vya Gaza
Zaidi ya asilimia 80 ya jamii ya Wayahudi wa Marekani walioshiriki katika uchunguzi wa maoni wametangaza kuwa, Israel katu haijapata…
Zaidi ya asilimia 80 ya jamii ya Wayahudi wa Marekani walioshiriki katika uchunguzi wa maoni wametangaza kuwa, Israel katu haijapata…
Jeshi la Israel lawaua kwa kuwapiga risasi watoto wa miaka 12 na 13 Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Watoto wawili wa Kipalestina wenye umri wa miaka 12 na 13 wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na askari wa jeshi…
Watoto wawili wa Kipalestina wenye umri wa miaka 12 na 13 wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na askari wa jeshi…
Maelfu waandamana Washington dhidi ya Trump kabla ya kuapishwa tena kuwa rais wa Marekani
Makumi ya maelfu ya Wamarekani wameandamana katika mji mkuu Washington dhidi ya rais mteule Donald Trump anayetazamiwa kuapishwa kesho Jumatatu.…
Makumi ya maelfu ya Wamarekani wameandamana katika mji mkuu Washington dhidi ya rais mteule Donald Trump anayetazamiwa kuapishwa kesho Jumatatu.…