Msemaji wa Brigedi za Izzuddin Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametoa taarifa muhimu na sambamba na kuishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa msaada wake mkubwa kwa Muqawama na wananchi wa Palestina amesisitiza kuwa, Operesheni ya Kimbunga cha al Aqsa imetoa mfano wa kipekee wa Muqawama na imeweka historia isiyoweza kufutika.
Related Posts
Angola yataka kusitishwa mapigano kabla ya mazungumzo ya amani DRC
Rais wa Angola, João Lourenço, ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) ametoa wito wa kusitishwa mara…
Rais wa Angola, João Lourenço, ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) ametoa wito wa kusitishwa mara…

Shambulio kubwa la ndege isiyo na rubani ya Kiukreni dhidi ya Moscow yazuiwa – meya
Shambulio kubwa la ndege isiyo na rubani ya Kiukreni dhidi ya Moscow yazuiwa – meya (VIDEO) Ndege kumi na moja…
Shambulio kubwa la ndege isiyo na rubani ya Kiukreni dhidi ya Moscow yazuiwa – meya (VIDEO) Ndege kumi na moja…
OCHA: Mamilioni ya watu wameendelea kutoroka makazi yao nchini DRC
Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema kuwa, mamilioni ya watu wanaendelea kuyahama makazi yao…
Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema kuwa, mamilioni ya watu wanaendelea kuyahama makazi yao…