Al Burhan: Makundi yanayoliunga mkono jeshi hayatanyakua mamlaka baada ya vita

Mkuu wa Baraza la Utawala na Kamanda wa Jeshi la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, amesema kuwa makundi yanayoliunga mkono jeshi hayatanyakua madaraka baada ya vita vya ndani nchini humo.