Zaidi ya watu 70 wameripotiwa kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa nchini Syria kutokana na mapigano makali kati ya wanamgambo wa kundi la kigaidi linalotawala la Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) na makundi ya Muqawama ya wananchi huko magharibi mwa nchi hiyo.
Related Posts
Hamas yafananisha vitendo vya Israel Gaza na mauaji ya kimbari ya Rwanda
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imefananisha vitendo vya utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza na…

Iran itashambulia Israel – vyombo vya habari
Iran itashambulia Israel – vyombo vya habariMaafisa mjini Washington wameripotiwa kuamini kuwa Jamhuri ya Kiislamu italipiza kisasi mauaji ya kiongozi…
Walimwengu waendelea kukataa mpango wa Trump wa kuitwaa Gaza
Mpango wa Trump wa kuitwaa Gaza umeendelea kupingwa kkatika kila kona ya dunia. Post Views: 39