Shirika la misaada ya kibinadamu la Gaza GHF, limesema basi lililokuwa likiwasafirisha wafanyakazi wake wa Kipalestina limeshambuliwa+++Leo dunia inaadhimisha siku ya kupinga ajira kwa watoto+++Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na uwekezaji, wa Tanzania Profesa Kitila Mkumbo amesema Tanzania imeonesha uimara kwa kuendelea kukuza uchumi wake.