Rais Trump wa Marekani apeleka wanajeshi zaidi Los Angeles huku maandamano yakiingia siku ya nne // Israel inawarudisha makwao wanaharakati waliokamatwa kwenye boti ya misaada iliyokuwa ikielekea Gaza // Na viongozi wa dunia waonya dhidi ya mbio za uchimbaji wa madíni ya baharini