10.06.2025 Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ10 Juni 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Waandamanaji wanaopinga kukamatwa kwa wahamiaji wamekusanyika Los Angeles kwa siku ya nne mfululizo / Rais wa Kenya, William Ruto, ametangaza mpango wa kitaifa maarufu kama National Youth Opportunities Towards Advancement (NYOTA), ukiwa na lengo la kutoa ajira kwa vijana 800,000.

https://p.dw.com/p/4vg0G

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *