Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mgogoro kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Rwanda umechukua sura mpya kufuatia uamuzi wa Rwanda kujitoa katika Jumuiya ya kiuchumi ya nchi za Afrika ya Kati (ECCAS) / Wawakilishi wa nchi 130 wanakusanyika leo katika mji wa Nice nchini Ufaransa kwa Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Bahari (UNOC).
Arusha. Hirizi ya mganga yamponza, aenda kujisalimisha polisi, kukiri kuua akiamini hatochukuliwa hatua. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mahakama…