Wadau katika suala zima la kudhibiti kifua kikuu katika mataifa mbalimbali duniani wamo katika mashaka makubwa, kufuatia hatua ya ghafla ya Rais Donald Trump wa Marekani kusitisha ufadhili kwa shughuli za afya kupitia shirika la USAID+++Baraza linaloshughulikia masuala ya wakimbizi la Norway NRC limetoa ripoti inayosema, Cameroon iko katika mgogoro mkubwa wa kibinadamu uliopuuzwa